IBADA YA SIFA
Jumapili
hii ilikuwa ni siku ya pekee katika kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya
Maombezi Mbezi Salasala. Uwepo wa Mungu ulionekana kutanda katika kanisa
hili wakati wa sifa. Watu walibarikiwa sana na uimbaji wa nyimbo za
kumsifu na kumshukuru Mungu kwa matendo makuu. Mungu aliweza kumtumia
mtumishi wa Mungu Apostle Gideon Mutalemwa kuongoza katika ibada ya
kusifu.Sasa unaweza kuona kwa njia ya picha:
Apostle Gideon Mutalemwa akiongoza ibada ya sifa
Apostle Gideon Mutalemwa
Apostle Gideon Mutalemwa
Apostle Gideon Mutalemwa
Apostle Gideon Mutalemwa
Apostle Gideon Mutalemwa
Wanakwaya-Anosisye
Mwimbaji - Steve
Mwimbaji- Elizabeth
Mwimbaji-Recho
Mwimbaji
Mwimbaji-Linah
Mwimbaji-Jackline
Mwimbaji-Marry
Mwimbaji-Veronica
Mwimbaji
Mwimbaji
Mwimbaji-Sakinah
IBADA YA KUABUDU
Apostle Gideon Mutalemwa akiongoza ibada yakuabudu
Apostle Gideon Mutalemwa
Apostle Gideon Mutalemwa akianguka mbele za Mungu wakati wa ibada ya kuabudu
Kutoka kulia ni Mch. Jury, Nabii Flora na Katibu Mathew Mollel
Nabii Flora akiwa katika ibada ya kuabudu
Oroda kulia akiwa katika uwepo wa Mungu katika ibada ya kuabudu