Baada ya kuona hajatendea haki video yake ya kwanza ya "Sambamba na Yesu", Apostle Gideon Mutalemwa ameamua kufanya shooting upya kwa kiwango cha juu sana ukilinganisha na shooting ya mara ya kwanza. Shootingi hii imefanyika Bagamoyo, kanisani Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi kwa Nabii Flora Peter ambako Apostle Gideon Mutalemwa anaabudu, Bahari ya Hindi, Makumbusho Dar es Salaam, TAZARA Dar es Salaam, Msitu wa Kisarawe Dar es Salaam na mazingira mbalimbali.
Baadhi
ya watu walihoshiriki katika video hii ni upande kucheza (dancing) ni
Linah. Veronica, Sakinah, Elizabeth, Keny, Winfrida, Marry, Rich.na
Traditiona Dancers
Kutokana na maelezo ya ITC wanaedai video itakuwa sokoni baada ya mwezi mmoja kutoka sasa, (Mwezi wa sita mwaka huu 2013)
Kutokana na maelezo ya ITC wanaedai video itakuwa sokoni baada ya mwezi mmoja kutoka sasa, (Mwezi wa sita mwaka huu 2013)
Apostle Gideon anamshukuru sana Mungu kwa kwa maarifa na ufahamu wa kuboresha kazi yake katika kiwango cha juu sana. Pia anawashukuru jamaa na marafiki kwa ushauri wao na ushirikiano wao katika kazi nzima ya kufanya shooting.
Wasiliana na Gideon Mutalemwa kwa
simu +255719697252
Blogu: www.apostlegideon.blogspot.com
simu +255719697252
Blogu: www.apostlegideon.blogspot.com
Angalia Picha

Apostle Gideon Mutalemwa-
Wakiwa katika hoteli Kiromo Bagamoyo
Keny
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni