APOSTLE GIDEON HEADER ANIMATIONS

SHOOTING MPYA YA WIMBO WA MTAKATIFU WA MTUME GIDEON MUTALEMWA

Jumanne, 19 Machi 2013

GIDEON MUTALEWA ALIPOSHIRIKI KATIKA MSIBA WA MDOGO WAKE NA MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI STELLA JOEL AITWAE JESSICA JOEL

Marehemu Jessica siku ya leo tarehe 14.03.2013 ndio ilikuwa siku yake ya mwisho wa mwili wake kuonekana katika dunia hii. Marehemu Jessica amezikwa katika makaburi ya Rombo Ubungo jijini Dar es Salaam Tanzania.
Marehemu alizaliwa mwaka 1976 huko Bukoba. Mpaka mauti inamkuta alikuwa akifanya kazi Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.

Apostle Gideon Mutalemwa

Jessica alikuwa anasumbuliwa na upungufu wa damu mwili. Kabla Jessica hajapotza maisha yake alienda kwa dada yake Stella Joel kumsalimia. Baada ya muda akajisikia vibaya na kuomba kwenda hospitalini kupima. wakiwa wameongozana wakitembea, Jessica alijisikia kuishiwa nguvu na ikamlazimu kukaa chini. stella Joel ambaye ni dada yake aliamua kutafuta taxi na kumkimbiza hospitalini. Alipofika hospitalini Mwananyamala hapa jijini Dar es Salaam,  madaktari walimshughulikia, lakini haikuwezekana. Muda kidogo akawa ni mtu wa kuaga dunia.

Marehemu alikuwa akiabudu katika kanisa ka Efatha kwa Nabii na Mtume Josephate Mwingra lililoko Mwenge hapa jijini Dar es Salaam Tanzania

Unaweza kuwasiliana na Stella Joel kwa simu+255 756846166
Marehemu Jessica Joel wakati wa uhai wake
 Mama akiimba huku akiwa ameshikilia sahani ya michango
 Watu wakipatachakula
Wakati wa kupata chakula ulifika
 Kutoka kulia,wa pili ni mtoto wa marehemu na huyo mtoto aliyepakatwa
 Baadhi yarafiki najamaawaliofika
 Kutoka kushoto ni mchungaji Chriss akifuatiwa na Stella Joel. Mc akiwa anaangalia ratiba ya mazishi
 Ulikuwa ni wakati wa huzuni
 Watu hawaamini kupotelewa na rafiki yao

Ulikuwa ni wakati mgumu kwa ndugu na jamaa wa Jessica Joel
 Kutoka kushoto wa pili ni Stella Joel skiwa amempakata mtoto wa marehemu
 Aliyepakatwa ni mtoto wa marehemu
 Miwili wa Marehemu Jessica Joel ukisubiriwa kuangwa na jamaa na marafiki nyumbani kwa Stella Joel Ubungo Msewe
Mtoto wa marehemu wa kwanza kutoka kulia na wa tatu kutoka kulia
Mchungaji Pius akisema neno kuhusu kupotelewa na Jessica Joel

Marehemu Jessica Joel akiwa katika kitanda chake cha milele
Kwaheri Jessica Joel
 Mtoto wa marehemu akimwaga mama yake aliyelala katika kitanda cha umeilele
 Mtoto wa mwisho marehemu akimwaga mama yake huku akilia kwa uchungu
Wa pili kutoka kulia ni Alfred akimuaga Jessica Joel
Watu wakimuaga Jessica Joel aliyelala katika kitanda chake cha milele
Mkurugenzi wa Rumafrica Rulea Sanga akichukua picha ya marehemu Jessica Joel
 
Mtoto wa marehemu Jessica Joel akiwa amepumzika katika kitanda chake cha umilele
Mwili wa marehemu ukipeleka maiti katika nyumba yake ya milele
 
Kulia ni kaka wa marehemu
 Wa pili kutoka kushoto kwa hao waliokaa ni Stella Joel
Kutoka kulia wa kwanza ni  muwakilishi kutokakanisa la Efatha ambako marehemu alikuwa akisali

Mchungaji Pius

MAKABURINI
 Wawili kutoka kulia ni watoto wa marehem Jessica Honore wakiwa makaburini
 Mke wa Mchungaji Pius
Mkurugenzi wa Rumafrica Rulea Sanga alivalia Tshirt ya kijani akimhifadhi dada yetu Jessica Joel

Mmoja wa ndugu wa marehemu akimhifadhi ndugu yake
Kutoka kulia ni Apostle Gideon Mutalemwa akiwa msibani
Muwakilishi kutoka kanisa la Efatha aliyeshika kipaza sauti akihubiri Neno la Mungu kuhusu mwili wa marehemu
Kwaheli Jessica Joel
Mwili wa marehemu ukipelekwa katika nyumba ya milele ya Jessica Joel


ANGALIA MATUKIO MENGINE KWA KUOBOFYA "Read More" HAPO CHINI

Jumapili, 17 Machi 2013

MTUME GIDEON MUTALEMWA AKIMTUMIKIA MUNGU KATIKA IBADA YA JUMAPILI 17.03.2013 KWA NABII FLORA

Siku ya Jumapili ilikuwa ni siku yangu ya baraka kutoka kwa Mungu kwa kupitia mpakwa mafuta Nabii Flora. Ninamshukuru sana Mungu kwa kuniwezesha kutumika kwa njia uimbaji katika ibada ya leo. Pia ninamshukuru Mungu sana kwa kuniwezesha kuzindua albamu yangu. Ninawashukuru wote mliofika na kunitian moyo kwa maombi yenu na michango yenu ya kifedha.Ninaahidi mbele za Mungu kuwa nitazidi kuwaombea.

Mungu wangu awabariki sana

Kulia ni Apostle Gideon Mutalemwa

 Apostle Gideon Mutalemwa (kulia)
 Apostle Gideon nikitoa shukrani zangu kwa kuniwezesha kuzindua albamu yangu ya Sambamba na Yesu katika kanisa la Nabii Flora tarehe 03.03.2013
Apostle Gideon Mutale
Apostle Gideon
Apostle Gideon Mutalemwa

Jumatano, 13 Machi 2013

MTUME GIDEON MUTALEMWA AKIWA NA MKE WAKE

Tunamshukuru Mungu kwa yote anayofanya katika familia yangu. Mungu ametuwezesha kuwa na upendo na maisha yetu yamekuwa ya furaha wakati wote. Mungu zidi kubariki familia yetu. Mungu zidi kumlinda mtoto wetu Dan.
 Mr & Mrs. Apostle Gideon Mutalemwa tukiwa katika uwepo wa Kimungu na kufurahia maisha yetu