Siku ya Jumapili ilikuwa ni siku yangu ya baraka kutoka kwa Mungu kwa kupitia mpakwa mafuta Nabii Flora. Ninamshukuru sana Mungu kwa kuniwezesha kutumika kwa njia uimbaji katika ibada ya leo. Pia ninamshukuru Mungu sana kwa kuniwezesha kuzindua albamu yangu. Ninawashukuru wote mliofika na kunitian moyo kwa maombi yenu na michango yenu ya kifedha.Ninaahidi mbele za Mungu kuwa nitazidi kuwaombea.
Mungu wangu awabariki sana

Kulia ni Apostle Gideon Mutalemwa
Mungu wangu awabariki sana

Kulia ni Apostle Gideon Mutalemwa
Apostle Gideon Mutalemwa (kulia)
Apostle Gideon nikitoa shukrani zangu kwa kuniwezesha kuzindua albamu yangu ya Sambamba na Yesu katika kanisa la Nabii Flora tarehe 03.03.2013
Apostle Gideon Mutale
Apostle Gideon
Apostle Gideon Mutalemwa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni